Nchi 20 zinazoongoza duniani kupokea misaada ya kimaendeleo ni Iraq (Dola Bilioni 9.115) ikifuatiwa na Afghanistan (dola bilioni 3.951. Nchi ya Tanzania ni ya tatu kwa kupokea dola takribani bilioni 2.811 kwa mwaka
Nchi zingine ni hizi hapa chini
|
NCHI |
MSAADA KATIKA BILIONI ZA DOLA |
|
1. IRAQ |
9.115 |
|
2. AFGHANISTAN |
3.951 |
|
3. TANZANIA |
2.811 |
| 4. VIETNAM… Continue reading |
Je wajua historia ya tajiri wa pili duniani Warren Buffet? Yeye anamiliki zaidi ya dola za kimarekani bilioni 50 na ameshachangia zaidi ya billion 30. Haya ndio baadhi ya mambo yake muhimu kuzingatia:
Je Wajua kwamba ROSTAM AZIZ Ajivua gamba CCM kupitia hotuba yake aliyoitoa mbele ya wazee na wanachama wa CCM Igunga. Fuatilia hotuba yenyewe hapa chini:
UTANGULIZI
WAZEE wangu, kwanza kabisa kabla ya kueleza kile ambacho kimenisukuma kuzungumza nanyi leo, napenda kuanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kufikia siku hii ambayo inatukutanisha waja wake.
Wazee wangu wa… Continue reading
Osama Bin Laden – Gaidi Mkubwa Kutokea Duniani Amekufa
Gaidi mkubwa kabisa kutokea duniani Osama Bin Laden amekufa baada ya shambulizi la kushtukiza lililofanywa na majeshi ya kimarekani katika nyumba yake ya ghorofa tatu. Taarifa za kiitelijensia zilisema kwamba Osama alikuwa akiishi katika ghorofa ya tatu ya ghorofa hiyo. Taarifa hiyo ni ya kweli na hayo yalidhibitishwa baada… Continue reading
Wamarekani wengi washeherekea kifo cha Osama huku wakighubikwa na kumbukumbu za vifo vya wapendwa wao
Wamarekaani wengi wamekuwa wakishereherekea kifo cha Osama katika viwanja vya ground zero, Newyork huku wakikumbuka orodha ndefu ya wapendwa wao waliopoteza maisha World Trade Center Septemba / 11 na baada ya hapo katika maeneo mbalimbali duniani kwa sababu ya OSAMA BIN LADENI
Timu ya soka bora duniani mwaka 2011kwa viwango vya FIFA (SHirikisho la Soka Duniani) ni timu ya Taifa la Hispania, Timu za Greece, Norway, Urusi, Italy, Chile, Ghana, Slovenia, Japan zimepanda viwango vya kandanda, timu ya ufaransa imeshuka kiwango cha soka kwa viwango vya FIFA.
Timu zingine 20 bora duniani hizi hapa:-
Je wajua kuwa nchi ya Sudani ya Kusini itakuwa nchi ya kwanza mpya duniani kwa mwaka 2011? Hayo yatatimia baada ya wasudani 98.8% raia wa Sudan ya Kusini walioko ndani na nje ya Sudani ya kusini kupigia ndiyo kwa kura ya maoni ya je Sudani ya kusini ijitenge au la. Tarehe 1 Julai 2011 ni siku muhimu kwa nchi inayodhaniwa… Continue reading
Taarifa kutoka Tunisia zinasema kuwa serikali ya mpito ya Tunisia kupitia kwa waziri wa mambo ya ndani imesimamisha shughuli zote za kilichokuwa chama tawala kilichokuwa kikiongozwa na aliyekuwa Raisi wa Tunisia aliyekimbilia Saudi Arabia, Zine El Abidine Ben Ali. Hatua hiyo ilifikiwa huku ikiosubiri maamuzi ya kikatiba ya kukiua kabisa chama hicho kikongwe cha Tunisia cha RCD ili kupunguza kudidimia… Continue reading
Baba mdogo kuliko wote duniani huyu hapa na mke wake
Mtoto Face Alfie, ambaye ana miaka 13 (kulia)ndie baba mdogo kuliko wote duniani. Yeye pamoja na rafiki yake wa kike Chantelle Steadman (15) (kushoto) kutoka Sussex County nchini Uingereza waliamua kumzaa Maisie Roxanne mwenye ratili 7 katikati
Chanzo chetu: The Sun
Mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani ni Suhas Gopinath wa India
|
Akiwa na miaka 14, miaka 10 iliyopita alianzisha Globals Inc ambayo ni kafteria ya internet huko Bengaluru, India hakujua kuwa yeye ndiye mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani
Leo hii Globals ni kampuni kubwa ya mamilioni ya dola za kimarekani yenye ofisi zake nchini Marekani, India, Kanada,… Continue reading