Taarifa ya kuuawa kwa Dr Harison Mwakyembe na Wenzake iliandikwa na Mwakyembe mwenyewe miezi sita kabla hajapewa sumu na kuiwasilisha Polisi.
Tuhuma za kutaka kuuawa kwa Dk.Mwakyembe na wenzake kwa IGP, Februari 8, mwaka jana, Dk. Mwakyembe alizungumza na baadhi ya viongozi waandamizi wa Jeshi la Polisi makao makuu ya jeshi hilo, jijini Dar es Salaam, na kuelezea wasiwasi wa… Continue reading
Baada ya kujivua gamba, sasa Rostam Aziz ataka kujivua uraia wa Tanzania kwa kutorokea Indonesia.. Jaribio la kutorosha mali zake nje lazimwa. Nadhani sasa anajionyesha kuwa hakuwa mwenzetu. baada ya kupora mali za nchi na baada ya Dowans kulipwa sasa nataka kuhamisha utahiri wake wote Indonesia ambako nahisi ndiko asili yake.
By: Lilian Kivuyo
Haya ni maneno yangu, wanawake watachukua nafasi kubwa ya kiuchumi Afrika katika karne ya 21. Fuatilia orodha hii hapa chini jinsi wanawake wanavyoendelea kuwa mamilionea wa karne ya 21
Jina: Isabel Dos Santos Raia: Angola Net Worth: Unknown Chanzo: Uwekezaji binti wa kwanza wa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos, Isabel dos Santos alianza biashara… Continue reading
Michele Obama ana wafanyakazi wapatao 22 na mishahara yao ni kama ilivyoonyeshwa hapa chini:
Wa kwanza .. $ 172,200 – Sher, Susan (Mkuu wa Wafanyakazi) wa pili .. $ 140,000 – Frye, Jocelyn C. (Naibu Msaidizi wa Rais na Mkurugenzi wa Sera na Miradi Kwa Lady Kwanza) Tatu .. $ 113,000 – Rogers, Desireé G. (Special Msaidizi wa Rais… Continue reading
Timu ya soka bora duniani mwaka 2011kwa viwango vya FIFA (SHirikisho la Soka Duniani) ni timu ya Taifa la Hispania, Timu za Greece, Norway, Urusi, Italy, Chile, Ghana, Slovenia, Japan zimepanda viwango vya kandanda, timu ya ufaransa imeshuka kiwango cha soka kwa viwango vya FIFA.
Timu zingine 20 bora duniani hizi hapa:-… Continue reading
Annie Jones ambaye ni mzaliwa wa Virginia, Marekani ndie mwanamke mwenye ndevu nyingi kuliko wote duniani? Alizaliwa tarehe 14, 1865 akiwa amefunikwa na wingu la nywele mpaka wazazi wake wakamwita “ESAU”.
Chanzo: http://f-r-e-a-k-s.tumblr.com/
Wanawake wenginbe wenye ndefu nyingi ni: