Mwezeshaji

Waendesha pikipiki songea wakiwa wamefunga barabara inayoelekea kwa mkuu wa mkoa ili kushinikiza serikali kuzuia mauaji ya kikatili ya raia zaidi ya 15 wasikuwa na hatia wanaoendelea kuuwa Songea na watu wasiojulikana tangu mwezi novemba mwaka jana 2011.

 

 

 

Haya ni maneno yangu, wanawake watachukua nafasi kubwa ya kiuchumi Afrika katika karne ya 21. Fuatilia orodha hii hapa chini jinsi wanawake wanavyoendelea kuwa mamilionea wa karne ya 21

Isabel Dos Santos (Angola)

Jina: Isabel Dos Santos Raia: Angola Net Worth: Unknown Chanzo: Uwekezaji binti wa kwanza wa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos, Isabel dos Santos alianza biashara… Continue reading

 

Michele Obama ana wafanyakazi wapatao 22 na mishahara yao ni kama ilivyoonyeshwa hapa chini:

Wa kwanza .. $ 172,200 – Sher, Susan (Mkuu wa Wafanyakazi) wa pili .. $ 140,000 – Frye, Jocelyn C. (Naibu Msaidizi wa Rais na Mkurugenzi wa Sera na Miradi Kwa Lady Kwanza) Tatu .. $ 113,000 – Rogers, Desireé G. (Special Msaidizi wa Rais… Continue reading

Zambia washinda kome la mataifa ya Afrika 2012 kwa mara ya kwanza na kuwaenzi vizuri mashujaa wenzao walifariki duniani miaka takribani 19 iliyopita Continue reading
Alihukumiwa kifo baadaye na muda mfupi kabla ya hukumu ya kifo kutekelezwa alimuomba kalamu na karatasi afisa wa magereza na kuandika barua ya kuagana kwenda kwa binti wa afisa wa magereza, maandishi ambayo yanaishi mpaka leo. Barua hiyo ndio inaaminika kuwa kadi ya kwanza ya valentine. Continue reading

Annie Jones ambaye ni mzaliwa wa Virginia, Marekani ndie mwanamke mwenye ndevu nyingi kuliko wote duniani? Alizaliwa tarehe 14, 1865  akiwa amefunikwa na wingu la nywele mpaka wazazi wake wakamwita “ESAU”.

Chanzo: http://f-r-e-a-k-s.tumblr.com/

Wanawake wenginbe wenye ndefu nyingi ni:

  1. Vivian Wheeler kutoka Marekani
  2. Madame Josephine Clofullia Wa Uswisi.

Wakati ndoa nyingi zikifungwa na kuvunjika muda mfupi baadaye duniani,sio hivyo kwa Herbert na Zelmyra Fisher wa James City N.C. Zelmyra na Herbert Fisher wameoana tangu 13 May 1924. Herbert na Zelmyra Fisher wanasema kwamba siri ya ndoa yao kukaa sana ni Mungu na Kanisa Continue reading
Orodha kamili ya mabilionea na matajiri wakubwa ishirini (20) duniani 2011 hii hapa: Tajiri na bilionea wa kwanza duniani Carlos Slim Helu wa Mexico Tajiri na bilionea wa pili duniani Bill Gates wa Marekani Tajiri na bilionea wa tatu duniani Bernad Arnault wa Ufaransa Tajiri na bilionea wa nne duniani Warren Buffett wa Marekani Tajiri na bilionea wa tano duniani Larry Ellison wa Marekani Continue reading
Mnyama Mwenye Mdomo Mkubwa Kuliko Wote Duniani ni Kiboko. Kiboko ndiye mpaka sasa hivi anayeongoza duniani kwa kuwa na mdomo mkubwa. Pia anaongozo kwa kupanua mdomo anapopiga miayo. Mdomo wake unaweza kupanuka mpaka digrii 170 ambayo ni sawa na mstari ulionyooka ukipungua kwa digrii kumi (10) tu. Continue reading
Tembo wa Afrika ndiye mnyama wa nchi kavu mkubwa kuliko wote duniani. Tembo wanapatikana kwa wingi katika mbuga za wanyama za Tarangire, Ngorongoro, Serengeti, Ruaha, Mikumi, nk. nchini Tanzania Continue reading

Matamshi aliyoyatoa waziri wa ulinzi wa Israel, Ehud Barak alipokuwa akihojiwa na mtangazaji Ayala Hasson wa Kituo cha redio cha Israeli yaleta mgawanyiko na hasira Tanzania. Kimsingi yalimaanisha Tanzania “Haina umuhimu wowote kwa Israel. kama ilivyo Ujerumani, Ufaransa na Uingereza

Nukuu: “Germany, France and England are not Tanzania, Mauritania or Tripolitania [jimbo mojawapo nchini Libya],”….

Alieleza Ehud na… Continue reading

Nchi 20 zinazoongoza duniani kupokea misaada ya kimaendeleo ni Iraq (Dola Bilioni 9.115) ikifuatiwa na Afghanistan (dola bilioni 3.951. Nchi ya Tanzania ni ya tatu kwa kupokea dola takribani bilioni 2.811 kwa mwaka

Nchi zingine ni hizi hapa chini

NCHI

MSAADA KATIKA

BILIONI ZA DOLA

1.  IRAQ

9.115

2.    AFGHANISTAN

3.951

3.    TANZANIA

2.811

      4.    VIETNAM

2.497

5.    ETHIOPIA… Continue reading

Je wajua historia ya tajiri wa pili duniani Warren Buffet? Yeye anamiliki zaidi ya dola za kimarekani bilioni 50 na ameshachangia zaidi ya billion 30. Haya ndio baadhi ya mambo yake muhimu kuzingatia:

  1. Alinunua shea za kwanza akiwa na miaka 11 tu. Sasa anajuta kuwa alichelewa kununua shea
  2. Alinunua kashamba kadogo akiwa na miaka 14 tu kwa fedha alizodunduliza kwa… Continue reading

Je Wajua kwamba ROSTAM AZIZ Ajivua gamba CCM kupitia hotuba yake aliyoitoa mbele ya wazee na wanachama wa CCM Igunga. Fuatilia hotuba yenyewe hapa chini: UTANGULIZI

WAZEE wangu, kwanza kabisa kabla ya kueleza kile ambacho kimenisukuma kuzungumza nanyi leo, napenda kuanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kufikia siku hii ambayo inatukutanisha waja wake.

Wazee wangu wa… Continue reading

Osama Bin Laden – Gaidi Mkubwa Kutokea Duniani Amekufa

 

 

Gaidi mkubwa kabisa kutokea duniani Osama Bin Laden amekufa baada ya shambulizi la kushtukiza lililofanywa na majeshi ya kimarekani katika nyumba yake ya ghorofa tatu. Taarifa za kiitelijensia zilisema kwamba Osama alikuwa akiishi katika ghorofa ya tatu ya ghorofa hiyo. Taarifa hiyo ni ya kweli na hayo yalidhibitishwa baada… Continue reading

 

 

Wamarekani wengi washeherekea kifo cha Osama huku wakighubikwa na kumbukumbu za vifo vya wapendwa wao Wamarekaani wengi wamekuwa wakishereherekea kifo cha Osama katika viwanja vya ground zero, Newyork huku wakikumbuka orodha ndefu ya wapendwa wao waliopoteza maisha World Trade Center Septemba / 11 na baada ya hapo katika maeneo mbalimbali duniani kwa sababu ya OSAMA BIN LADENI

Timu ya soka bora duniani mwaka 2011kwa viwango vya FIFA (SHirikisho la Soka Duniani) ni timu ya Taifa la Hispania, Timu za Greece, Norway, Urusi, Italy, Chile, Ghana, Slovenia, Japan zimepanda viwango vya kandanda, timu ya ufaransa imeshuka kiwango cha soka kwa viwango vya FIFA.

Timu zingine 20 bora duniani hizi hapa:-

  1. Hispania 18870
  2. Uholanzi 17230… Continue reading

Je wajua kuwa nchi ya Sudani ya Kusini itakuwa nchi ya kwanza mpya duniani kwa mwaka 2011? Hayo yatatimia baada ya wasudani 98.8% raia wa Sudan ya Kusini walioko ndani na nje ya Sudani ya kusini kupigia ndiyo kwa kura ya maoni ya je Sudani ya kusini ijitenge au la. Tarehe 1 Julai 2011 ni siku muhimu kwa nchi inayodhaniwa… Continue reading

Taarifa kutoka Tunisia zinasema kuwa serikali ya mpito ya Tunisia kupitia kwa waziri wa mambo ya ndani imesimamisha shughuli zote za kilichokuwa chama tawala kilichokuwa kikiongozwa na aliyekuwa Raisi wa Tunisia aliyekimbilia Saudi Arabia, Zine El Abidine Ben Ali. Hatua hiyo ilifikiwa huku ikiosubiri maamuzi ya kikatiba ya kukiua kabisa chama hicho kikongwe cha Tunisia cha RCD ili kupunguza kudidimia… Continue reading

Baba mdogo kuliko wote duniani huyu hapa na mke wake

Mtoto Face Alfie, ambaye ana miaka 13 (kulia)ndie baba mdogo kuliko wote duniani. Yeye pamoja na rafiki yake wa kike Chantelle Steadman (15) (kushoto) kutoka Sussex County nchini Uingereza waliamua kumzaa Maisie Roxanne mwenye ratili 7  katikati

Chanzo chetu: The Sun

Jiunge Kupokea Taarifa

Weka barua pepe yako hapa kupokea taarifa mpya zinapotokea


 

RSS News

Waliotutembelea

Waliotutembelea Leo: 33
Jana: 72
Mwezi huu: 1425
Jumla: 15943
Walioko hewani Sasa: 3
Waliosoma leo: 884
Waliosoma jana: 2228
Mwezi huu: 53818
Jumla: 147686