Familia na ndoa

Family & marriages

 

Msichana anayekula sana na anayetarajiwa kuwa mnene kuliko wote duniani, Sussane anatarajia kuolewa na mpishi. “Tutafanya wawili wanaoendana, ninapenda kula na yeye anapenda kupika. Atanisaidia kufikia malengo kwa kunilisha” Hayo aliyasema Sussane ambaye picha yake ipo hapo kulia akilishwa na mwenzake mtarajiwa.

 

Chanzo: The SUN

 

Alihukumiwa kifo baadaye na muda mfupi kabla ya hukumu ya kifo kutekelezwa alimuomba kalamu na karatasi afisa wa magereza na kuandika barua ya kuagana kwenda kwa binti wa afisa wa magereza, maandishi ambayo yanaishi mpaka leo. Barua hiyo ndio inaaminika kuwa kadi ya kwanza ya valentine. Continue reading
Wakati ndoa nyingi zikifungwa na kuvunjika muda mfupi baadaye duniani,sio hivyo kwa Herbert na Zelmyra Fisher wa James City N.C. Zelmyra na Herbert Fisher wameoana tangu 13 May 1924. Herbert na Zelmyra Fisher wanasema kwamba siri ya ndoa yao kukaa sana ni Mungu na Kanisa Continue reading

Baba mdogo kuliko wote duniani huyu hapa na mke wake

Mtoto Face Alfie, ambaye ana miaka 13 (kulia)ndie baba mdogo kuliko wote duniani. Yeye pamoja na rafiki yake wa kike Chantelle Steadman (15) (kushoto) kutoka Sussex County nchini Uingereza waliamua kumzaa Maisie Roxanne mwenye ratili 7  katikati

Chanzo chetu: The Sun

Harusi ya kwanza kwa ughali duniani – Vanisha Mittal, na Amit Bhatia iliyogharimu milioni 78 dola za kimarekani

Katika taarifa yetu hii tutaangalia vitu muhimu katika harusi kama vile Aina na idadi ya waalikwa, chakula, keki, gauni la bibi harusi, vifaa vya muziki na mapambo nk. Kwa matajiri mabilionea mara zote hutawaliwa na manukato ya gharama, walikwa wenye majina, watumbuizaji… Continue reading

Jiunge Kupokea Taarifa

Weka barua pepe yako hapa kupokea taarifa mpya zinapotokea


 

RSS News

Waliotutembelea

Waliotutembelea Leo: 30
Jana: 113
Mwezi huu: 1567
Jumla: 21734
Walioko hewani Sasa: 1
Waliosoma leo: 439
Waliosoma jana: 1732
Mwezi huu: 27696
Jumla: 277077

Picha Maalum