Nchi Kongwe kwa Ustaarabu Duniani ni Misri.
Misri ya kale yakadiriwa miaka 3,000 iliyopita ndiyo jamii kubwa iliyostaarabika kutokea Duniani. Wamisri waliishi kandokando ya mto Nile na kitamaduni walistaarabika katika namna wanavyoongea, wanavyoabudu, wanavyoelewa na kuchukulia ulimwengu wa kaisili, walivyojiendesha kwa serikali mbalimbali, walivyoishi, walifanya matukio ya kijamii na burudani mbali mbali, na jinsi walivyojihusisha na wengine ambao hawakuwa wamisri.