Duma anayepatikana Afrika ndiye kiumbe wa nchi kavu anayekimbia kuliko wote duniani
Duma anaweza kukimbia mpaka kilomita 113 kwa saa na anaweza kuongeza mwendo kasi kutoka kilomita 0 mpaka 70 kwa saa kwa sekunde 2
Je umependa huu ukurasa? Kama ni vipi, mtumie rafiki Au hifadhi sasa, Kuhusu huu ukurasa na kujiandikisha ili utumiwe taarifa za blogu hili RSS feed.