Mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani ni Suhas Gopinath wa India
|
Akiwa na miaka 14, miaka 10 iliyopita alianzisha Globals Inc ambayo ni kafteria ya internet huko Bengaluru, India hakujua kuwa yeye ndiye mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani
Leo hii Globals ni kampuni kubwa ya mamilioni ya dola za kimarekani yenye ofisi zake nchini Marekani, India, Kanada, Ujerumani, Italia, Uingereza, Hispania, Austalia, Singapore na Mashariki ya mbali na ina wafanyakazi 100 India na 56 nje ya India
Huyu kijana ameweza kutunukiwa medani ya heshima nyingi lakini moja wapo kubwa ni ile ya kualikwa kwenye baraza la ICT la Benki ya Dunia
Je umependa huu ukurasa? Kama ni vipi, mtumie rafiki Au hifadhi sasa, Kuhusu huu ukurasa na kujiandikisha ili utumiwe taarifa za blogu hili RSS feed.