Mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani ni Suhas Gopinath wa India

Mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani

Suhas Gopinath: Mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani

Suhas Gopinath akiwa na mwanzilishi wa Microsoft (Bill Gates)

Suhas Gopinath akiwa na mwanzilishi wa Microsoft (Bill Gates)

Akiwa na miaka 14, miaka 10 iliyopita alianzisha Globals Inc ambayo ni kafteria ya internet huko Bengaluru, India hakujua kuwa yeye ndiye mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani

Leo hii  Globals ni kampuni kubwa ya mamilioni ya dola za kimarekani yenye ofisi zake nchini  Marekani, India, Kanada, Ujerumani, Italia, Uingereza, Hispania, Austalia, Singapore na Mashariki ya mbali na ina wafanyakazi 100 India na 56 nje ya India

Huyu kijana ameweza kutunukiwa medani ya heshima nyingi lakini moja wapo kubwa ni ile ya kualikwa kwenye baraza la ICT la Benki ya Dunia

VN:F [1.9.17_1161]
Rating: 0.0/5 (0 votes cast)

Je umependa huu ukurasa? Kama ni vipi, mtumie rafiki Au hifadhi sasa,
tell a friend
Kuhusu huu ukurasa na kujiandikisha ili utumiwe taarifa za blogu hili RSS feed.

Taarifa Zinazofanana:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

*

You may use these HTML tags and attributes: <a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <strike> <strong>

Kutoka YouTube

Loading...

Jiunge Kupokea Taarifa

Weka barua pepe yako hapa kupokea taarifa mpya zinapotokea


 

RSS News

Waliotutembelea

Waliotutembelea Leo: 30
Jana: 113
Mwezi huu: 1567
Jumla: 21734
Walioko hewani Sasa: 3
Waliosoma leo: 418
Waliosoma jana: 1732
Mwezi huu: 27675
Jumla: 277056

Picha Maalum