Harusi ya kwanza kwa ughali duniani – Vanisha Mittal, na Amit Bhatia iliyogharimu milioni 78 dola za kimarekani

Katika taarifa yetu hii tutaangalia vitu muhimu katika harusi kama vile Aina na idadi ya waalikwa, chakula, keki, gauni la bibi harusi, vifaa vya muziki na mapambo nk. Kwa matajiri mabilionea mara zote hutawaliwa na manukato ya gharama, walikwa wenye majina, watumbuizaji… Continue reading

Nyangumi wa bluu ndie kiumbe mkubwa kuliko wote duniani. Ameripotiwa kufikia mpaka urefu wa futi 110 na uzito wa tani 209

Mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani ni Suhas Gopinath wa India

Akiwa na miaka 14, miaka 10 iliyopita alianzisha Globals Inc ambayo ni kafteria ya internet huko Bengaluru, India hakujua kuwa yeye ndiye mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani

Leo hii  Globals ni kampuni kubwa ya mamilioni ya dola za kimarekani yenye ofisi zake nchini  Marekani, India, Kanada,… Continue reading

Duma anayepatikana Afrika ndiye kiumbe wa nchi kavu anayekimbia kuliko wote duniani

Duma anaweza kukimbia mpaka kilomita 113 kwa saa na anaweza kuongeza mwendo kasi kutoka kilomita 0 mpaka 70 kwa saa kwa sekunde 2

Mbuni anayepatikana Africa ndiye ndege mrefu kuliko wote duniani na anakadiriwa kufikia urefu wa futi 9 na uzito wa kilo 156

Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa…

Chatu wa mashariki mwa asia na india ndiye nyoka mrefu kuliko wote duniani na ameripotiwa kufukia urefu wa futi 32.

Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa…

Tembo wa nyikani aishie Africa ndie kiumbe wa nchi kavu mkubwa kuliko wote duniani na ameripotiwa kuwa na urefu wa futi 13 na uzito wa tani 8

Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa… Tembo wa Afrika Mnyama wa Nchi Kavu Mkubwa Kuliko Wote Duniani

Twiga ni kiumbe mrefu kuliko wote duniani na anakadiriwa kuwa anaweza kukua hadi futi 19

Peregrine Falcon (jamii ya tai) ameripotiwa kukimbia zaidi ya maili 200 kwa saa wakati anashuka. Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa…

Nchi inayoongoza duniani kwa kula rushwa 2010 ni nchi ya Somalia, Africa ikifuatiwa kwa karibu na nchi za Myanmar, Afganistan na Iraq. Nchi zinazoongoza kwa kutokula rushwa ni Denmark, New Zealand na Singapore. Nchi sita za Africa kati ya nchi kumi zilizoorodheshwa kwa kula rushwa zaidi duniani 2010 ni nchi za Somalia,

  1. Sudan,
  2. Chad,
  3. Burundi,
  4. Angola na
  5. Equatorial Guinea.

Nchi… Continue reading

Nchi inayoongoza kwa kunyonga duniani ni China ambayo tu mwaka jana 2009 ilinyonga zaidi ya watu 470.

Nchin zingine hizi hapa chini

Nchi na idadi ya vifo vya kunyongwa

  1. China: 470
  2. Iran: 317
  3. Saudi Arabia: 143
  4. Pakistan: 135
  5. Congo, Democratic Republic of the: 100
  6. Egypt: 48
  7. United States: 42
  8. Iraq: 33
  9. Taiwan… Continue reading

Jengo refu kuliko zote duniani ni Burj Khalifa (Burj Dubai, or Dubai Tower), lililoko Dubai ambalo lina magorofa 162 au urefu wa futi 2,717 (Mita 828). Iligharimu dola za kimarekani bilioni 1.5. ina hoteli 9, vyumba 1,044 na lifti 57

Jengo hili lilizinduliwa rasmi mwaka huu na lilipewa jina la raisi wa UAE na Emirate of Abu Dhabi, Sheikh Khalifa… Continue reading

Orodha kamili hii hapa:

Jina Ukubwa wa eneo ktk maili za mrab 1.  Ziwa Superior, Amerika ya kaskazini 82,100 sq km/31,700 sq mi 2.  Ziwa Victoria, Africa 69,490 sq km/26,830 sq mi 3.  Ziwa Huron, Amerika ya kaskazini 59,600 sq km/23,000 sq mi 4.  Ziwa Michigan, Amerika ya kaskazini 57,800 sq km/22,300 sq mi 5.  Ziwa Tanganyika, Africa 32,900 sq km/12,700 sq mi

Chanzo chetu: Geology.com

Darubini 10 kubwa kuliko zote duniani ni hizi hapa

Jina na sehemu zilipo Urefu kutoka usawa wa bahari (m) Kipenyo cha lensi ya msingi (m) Mwaka wa kuanzishwa Jina la Darubini na Mji (kama ni Tofauti na Sehemu) 1.  Mauna Kea Observatory (Hawaii, United States) 4,150 10.00 1993 Keck Telescope I 2.  Mauna Kea Observatory (Hawaii, United States) 4,200 8.20… Continue reading

Kiumbe Anayeishi Muda Mfupi Kuliko Wote Duniani anaitwa Nzi (Adult mayfly) ambaye anaishi siku 1 mpaka 3 tu

Matetemeko 12 makubwa zaidi duniani ni:

Nchi Tarehe ya tukio Kipimo cha richa 1.  Chile 22 Mei 1960 9.5 2.  Prince William Sound, Alaska 28 Machi 1964 9.2 3.  Andreanof Islands, Aleutian Islands, Alaska 9 Machi 1957 9.1 4.  Kamchatka Peninsula, Russia 4 Novemba 1952 9.0 5.  Indian cean, near Sumatra, Indonesia 26 Desemba 2004 9.0 6. Japan, Honshu (northeast)… Continue reading

Matetemeko 10 maharibifu zaidi kutokea duniani ni haya hapa chini ambayo yameua zaidi ya watu 50,000

Nchi/Mji Tarehe Vifo Kipimo cha richa 1.  China, Shaanxi Province 23 Januari 1556 830,000 ~8 2.  China, Tangshan

    27 Julai 1976 255,000 7.5 3.  Indian Ocean, near Sumatra, Indonesia
      26 Desemba 2004 250,000 9.0 4.  Syria, Aleppo
        9 Agosti 1138 230,000 5.  China, near… Continue reading
        Kocha  anayelipwa zaidi 2010 kuliko wote duniani ni Jose Mourinho  wa Real Madrid ya Hispania anayelipwa Paundi 11.7 millioni kwa wiki Orodha kamili ya makocha wanaolipwa zaidi hii hapa: Jina la kocha Timu Anayofundisha Nchi Mshahara Kwa Wiki ktk million za paundi 1.  Jose Mourinho Inter Milan Italia 11.7 2.  Roberto Mancini Manchester City Uingereza 10.8 3.  Luiz Felipe Scolari… Continue reading

        Mchezaji anayelipwa zaidi 2010 kuliko wote Duniani ni Lionel Messi wa FC Barcelona ya Hispania anayelipwa Paundi 29.6 millioni kwa wiki

        Orodha kamili ya wachezaji wanaolipwa zaidi hii hapa:

        Jina la mchezaji Timu Anayochezea Nchi Mshahara Kwa Wiki ktk million za paundi
        1. Lionel Messi
        FC Barcelona Hispania 29.6
        1. David Beckham
        LA Galaxy Marekani 27.3
        1. Christiano Ronaldo
        Real Madrid Hispania 27… Continue reading

        Nchi yenye asilimia kubwa ya wakristo ni Vatican, Guatemala, Micronesia, Samoa na Panama. Zote kwa pamoja zina asilimia 100 ya wakristo katika nchi zao.

        Orodha kamili ya nchi 15 zenye asilimia kubwa ya wakristo hii hapa 1. Vatican City 100% (100% Roman Catholic) 2. Guatemala ~ 100% (55% Roman Catholic and 33% Protestants) 3. Micronesia ~100% 4. Samoa ~100% 5.… Continue reading

        Jiunge Kupokea Taarifa

        Weka barua pepe yako hapa kupokea taarifa mpya zinapotokea


         

        RSS News

        Waliotutembelea

        Waliotutembelea Leo: 32
        Jana: 72
        Mwezi huu: 1424
        Jumla: 15942
        Walioko hewani Sasa: 1
        Waliosoma leo: 870
        Waliosoma jana: 2228
        Mwezi huu: 53804
        Jumla: 147672