Mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani ni Suhas Gopinath wa India

Akiwa na miaka 14, miaka 10 iliyopita alianzisha Globals Inc ambayo ni kafteria ya internet huko Bengaluru, India hakujua kuwa yeye ndiye mmiliki wa kampuni mdogo kuliko wote duniani

Leo hii  Globals ni kampuni kubwa ya mamilioni ya dola za kimarekani yenye ofisi zake nchini  Marekani, India, Kanada,… Continue reading

Duma anayepatikana Afrika ndiye kiumbe wa nchi kavu anayekimbia kuliko wote duniani

Duma anaweza kukimbia mpaka kilomita 113 kwa saa na anaweza kuongeza mwendo kasi kutoka kilomita 0 mpaka 70 kwa saa kwa sekunde 2

Mbuni anayepatikana Africa ndiye ndege mrefu kuliko wote duniani na anakadiriwa kufikia urefu wa futi 9 na uzito wa kilo 156

Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa…

Chatu wa mashariki mwa asia na india ndiye nyoka mrefu kuliko wote duniani na ameripotiwa kufukia urefu wa futi 32.

Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa…

Tembo wa nyikani aishie Africa ndie kiumbe wa nchi kavu mkubwa kuliko wote duniani na ameripotiwa kuwa na urefu wa futi 13 na uzito wa tani 8

Kwa maelezo zaidi bonyeza hapa… Tembo wa Afrika Mnyama wa Nchi Kavu Mkubwa Kuliko Wote Duniani

Nchi inayoongoza duniani kwa kula rushwa 2010 ni nchi ya Somalia, Africa ikifuatiwa kwa karibu na nchi za Myanmar, Afganistan na Iraq. Nchi zinazoongoza kwa kutokula rushwa ni Denmark, New Zealand na Singapore. Nchi sita za Africa kati ya nchi kumi zilizoorodheshwa kwa kula rushwa zaidi duniani 2010 ni nchi za Somalia,

  1. Sudan,
  2. Chad,
  3. Burundi,
  4. Angola na
  5. Equatorial Guinea.

Nchi… Continue reading

Nchi inayoongoza kwa kunyonga duniani ni China ambayo tu mwaka jana 2009 ilinyonga zaidi ya watu 470.

Nchin zingine hizi hapa chini

Nchi na idadi ya vifo vya kunyongwa

  1. China: 470
  2. Iran: 317
  3. Saudi Arabia: 143
  4. Pakistan: 135
  5. Congo, Democratic Republic of the: 100
  6. Egypt: 48
  7. United States: 42
  8. Iraq: 33
  9. Taiwan… Continue reading

Jengo refu kuliko zote duniani ni Burj Khalifa (Burj Dubai, or Dubai Tower), lililoko Dubai ambalo lina magorofa 162 au urefu wa futi 2,717 (Mita 828). Iligharimu dola za kimarekani bilioni 1.5. ina hoteli 9, vyumba 1,044 na lifti 57

Jengo hili lilizinduliwa rasmi mwaka huu na lilipewa jina la raisi wa UAE na Emirate of Abu Dhabi, Sheikh Khalifa… Continue reading

Orodha kamili hii hapa:

Jina Ukubwa wa eneo ktk maili za mrab 1.  Ziwa Superior, Amerika ya kaskazini 82,100 sq km/31,700 sq mi 2.  Ziwa Victoria, Africa 69,490 sq km/26,830 sq mi 3.  Ziwa Huron, Amerika ya kaskazini 59,600 sq km/23,000 sq mi 4.  Ziwa Michigan, Amerika ya kaskazini 57,800 sq km/22,300 sq mi 5.  Ziwa Tanganyika, Africa 32,900 sq km/12,700 sq mi

Chanzo chetu: Geology.com

Darubini 10 kubwa kuliko zote duniani ni hizi hapa

Jina na sehemu zilipo Urefu kutoka usawa wa bahari (m) Kipenyo cha lensi ya msingi (m) Mwaka wa kuanzishwa Jina la Darubini na Mji (kama ni Tofauti na Sehemu) 1.  Mauna Kea Observatory (Hawaii, United States) 4,150 10.00 1993 Keck Telescope I 2.  Mauna Kea Observatory (Hawaii, United States) 4,200 8.20… Continue reading

Kiumbe Anayeishi Muda Mfupi Kuliko Wote Duniani anaitwa Nzi (Adult mayfly) ambaye anaishi siku 1 mpaka 3 tu

Matetemeko 12 makubwa zaidi duniani ni:

Nchi Tarehe ya tukio Kipimo cha richa 1.  Chile 22 Mei 1960 9.5 2.  Prince William Sound, Alaska 28 Machi 1964 9.2 3.  Andreanof Islands, Aleutian Islands, Alaska 9 Machi 1957 9.1 4.  Kamchatka Peninsula, Russia 4 Novemba 1952 9.0 5.  Indian cean, near Sumatra, Indonesia 26 Desemba 2004 9.0 6. Japan, Honshu (northeast)… Continue reading

Matetemeko 10 maharibifu zaidi kutokea duniani ni haya hapa chini ambayo yameua zaidi ya watu 50,000

Nchi/Mji Tarehe Vifo Kipimo cha richa 1.  China, Shaanxi Province 23 Januari 1556 830,000 ~8 2.  China, Tangshan

    27 Julai 1976 255,000 7.5 3.  Indian Ocean, near Sumatra, Indonesia
      26 Desemba 2004 250,000 9.0 4.  Syria, Aleppo
        9 Agosti 1138 230,000 5.  China, near… Continue reading
        Kocha  anayelipwa zaidi 2010 kuliko wote duniani ni Jose Mourinho  wa Real Madrid ya Hispania anayelipwa Paundi 11.7 millioni kwa wiki Orodha kamili ya makocha wanaolipwa zaidi hii hapa: Jina la kocha Timu Anayofundisha Nchi Mshahara Kwa Wiki ktk million za paundi 1.  Jose Mourinho Inter Milan Italia 11.7 2.  Roberto Mancini Manchester City Uingereza 10.8 3.  Luiz Felipe Scolari… Continue reading

        Mchezaji anayelipwa zaidi 2010 kuliko wote Duniani ni Lionel Messi wa FC Barcelona ya Hispania anayelipwa Paundi 29.6 millioni kwa wiki

        Orodha kamili ya wachezaji wanaolipwa zaidi hii hapa:

        Jina la mchezaji Timu Anayochezea Nchi Mshahara Kwa Wiki ktk million za paundi
        1. Lionel Messi
        FC Barcelona Hispania 29.6
        1. David Beckham
        LA Galaxy Marekani 27.3
        1. Christiano Ronaldo
        Real Madrid Hispania 27… Continue reading

        Nchi yenye asilimia kubwa ya wakristo ni Vatican, Guatemala, Micronesia, Samoa na Panama. Zote kwa pamoja zina asilimia 100 ya wakristo katika nchi zao.

        Orodha kamili ya nchi 15 zenye asilimia kubwa ya wakristo hii hapa 1. Vatican City 100% (100% Roman Catholic) 2. Guatemala ~ 100% (55% Roman Catholic and 33% Protestants) 3. Micronesia ~100% 4. Samoa ~100% 5.… Continue reading

        Nchi ya Marekani ndio nchi yenye wakristo wengi duniani. Marekani ina takriban wakristo milioni 235

        Orodha kamili ya nchi 20 zenye wakristo wengi duniani hii hapa: 1. United States 234,889,159 2. Brazil 169,109,476 3. China 104,505,105 4. Mexico 103,265,846 5. Russia 100,964,426 6. Philippines 84,246,490 7. Nigeria 62,068,098 8. Congo DR 59,176,360 9. Germany 56,032,677 10. Italy 55,216,284 11. Ethiopia… Continue reading

        Nchi yenye wahindu wengi duniani ni India, inakadiriwa kuwa na wahindu milioni 931

        Orodha kamili ya nchi 20 duniani zenye wahindu wengi hii hapa: 1. India 930,542,254 2. Nepal 25,010,450 3. Bangladesh 15,797,076 4. Indonesia 4,693,880 5. Pakistan 3,327,787 6. Sri Lanka 3,138,947 7. Malaysia 1,563,741 8. United States 1,204,560 9. United Arab Emirates 944,352 10. Mauritius 625,441 11. United… Continue reading

        Dini kubwa kuliko zote duniani ni ukristo, kuna takriba wakristo bilioni 1.9 mpaka 2.1 duniani. Hii ni sawa na asilimia 29 mpaka 32 ya watu wote wa dunia (Duniani inakadiriwa kuwa na watu bilioni 6.8)

        Orodha kamili ya dini nne kubwa duniani hii hapa:

        Jina Idadi Asilimia Ukristo 1.9 bilioni – 2.1 bilioni 29% – 32% Uislamu 1.3 bilioni –… Continue reading

        Nchi a Yemen, Mauritania na Somalia kwa pamoja ndizo nchi zenye asilimia kubwa ya waislamu duniani. zote kwa pamoja zina asilimia 99.9 ya waislamu katika nchi zao.

        Orodha kamili ya nchi 15 zenye asilimia kubwa a waislamu katika nchi zao duniani hii hapa: 1. Yemen 99.9% (65-70% Sunni, 30-35% Shi’a) 2. Mauritania 99.9% (mostly Sunni) 3. Somalia 99.9% (mostly Sunni)… Continue reading

        Kutoka YouTube

        Loading...

        Jiunge Kupokea Taarifa

        Weka barua pepe yako hapa kupokea taarifa mpya zinapotokea


         

        RSS News

        Waliotutembelea

        Waliotutembelea Leo: 30
        Jana: 113
        Mwezi huu: 1567
        Jumla: 21734
        Walioko hewani Sasa: 2
        Waliosoma leo: 433
        Waliosoma jana: 1732
        Mwezi huu: 27690
        Jumla: 277071

        Picha Maalum